Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman na msafara wake ukielekea kukagua mradi wa maji uliopo katika kata ya Bundaza,wilayani Missenyi mkoani Kagera.Ndugu Kinana  na ujumbe wake wapo katika ziara za kujenga na kuimarisha chama, kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiteremka kwenda kuona chanzo cha maji kwenye eneo la Ukolobe kijiji cha Rukurungo kata ya Bugandika wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimtwika ndoo ya maji kwa mmja wa wana kijiji  cha Rukurungo,wilayani Missenyi,wakati wa uzinduzi wa huduma ya maji itakayohutumia wakazi zaidi ya 1884 na itakua na vituo zaidi ya 16 katika kijiji cha Rukurungo kata ya Bugandika wilaya ya Missenyi mkoani Kagera. 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Bwanjai mbele ya ofisi ya Kata ya CCM .
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akikabidhiwa silaha za jadi na wazee wa Kimila wa Kata ya Bwanjai,wilaya ya missenyi mkoani Kagera,kulia kwake ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishuhudia tukio hilo.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mzee Omari Hussein ambaye ni mmoja wa Walezi waliomlea wakati wa ujana wake.
 Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Assumpta Mshama (kulia) akiongea na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye pamoja na Balozi Dkt. Diodorus Kamala kwenye eneo la mkutano katika kata ya Bwanjai,wilani Missenyi mkoani Kagera.

PICHA NA MICHUZI JR-MISSENYI - KAGERA 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...