Meneja huduma za jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (Kulia) akiongea na waandishi wa habari , baada ya kumkabidhi Mohamed Said (Kushoto) banda la kuku la kisasa pamoja na kuku wa kienyeji kutoka Airtel Tanzania kupitia mpango wake wa Airtel Fursa, wenye dhamira ya kuwawezesha vijana.
Mohamed Said akiwalisha kuku baada ya kukabidhiwa banda la kuku la kisasa pamoja na kuku wa kienyeji kutoka Airtel Tanzania kupitia mpango wake wa Airtel Fursa, wenye dhamira ya kuwawezesha vijana.
Meneja huduma za jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (Kulia) akimpongeza Mohamed Said (Kushoto) mara baada ya kumkabidhi banda la kuku la kisasa pamoja na kuku wa kienyeji kutoka Airtel Tanzania kupitia mpango wake wa Airtel Fursa, wenye dhamira ya kuwawezesha vijana.
Meneja huduma za jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (Kulia), Mohamed Said (wa pili kulia) na majirani (kushoto) wakikagua banda la kuku la kisasa pamoja na kuku wa kienyeji alivyokabidhiwa Mohamed kutoka Airtel Tanzania kupitia mpango wake wa Airtel Fursa, wenye dhamira ya kuwawezesha vijana.

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kupitia mradi wake wa AIRTEL FURSA imeiona changamoto hiyo na kuamua kuwafikia vijana ambao wameonesha jitihada za kujikwamua na umaskini kwa kuwawezesha kupata mitaji ama vifaa vitakavyotimiza ndoto hizo.
Mohmed Saidi Kigumi Kijana Mfugaji wa kuku wa kienyeji mwenye umri wa miaka 24 aishie Kiluvya nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam amekataa kusubiri kuajiriwa na amethubutu na kuanzisha mradi huku akitoa wito kwa vijana kujitokeza kukabiliana na changamoto zinazokwamisha kujiletea maendeleo.
“Nawashukuru sana Airtel kwani wameweza kubadilisha maisha yangu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...