Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akiongea na vijana
wa Mwanza wakati wa uzinduzi  wa warsha maalum kwa vijana  ya'Airtel
Fursa'  kutoka Airtel Tanzania yenye lengo la kuwawezesha Vijana
wajasiliamali nchini iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji
Mwanza.
 Baadhi ya vijana wa mwanza wakifuatilia kwa makini mafunzo yalikuwa
yakiendeshwa na Airtel Fursa yenye lengo la kuwawezesha vijana kupata
mafunzo kwenye usimamizi wa fedha, upatikanaji wa mikopo, kufungua
akaunti ya benki na mambo muhimu katika kuendesha biashara. Warsha
hiyo ilifanyika jana katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji Mwanza.
 Meya Stanslaus Mabula akiongea na vijana Mwanza wakati wa uzinduzi  wa
warsha maalum kwa vijana  ya'Airtel Fursa'  kutoka Airtel Tanzania
yenye lengo la kuwawezesha Vijana wajasiliamali nchini iliyofanyika
katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji Mwanza.
 Mtaalamu wa maswala ya kijamii na ujasiliamali bw, Fidelis Madaha
akifundisha mada ya Masoko katika warsha ya Airtel fursa iliyofanyika
katika ukumbi wa halmashauri ya jiji jana. Airtel inaendesha warsha
hizo kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata mafunzo kwenye usimamizi
wa fedha, upatikanaji wa mikopo, kufungua akaunti ya benki na mambo
muhimu katika kuendesha biashara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...