Yule mgombea mwenye umri mdogo zaidi ambaye siku za karibuni amejizolea
umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii tangu achukue fomu ameanza
kumwaga sera zake ambapo leo anazungumzia kuhusu ambavyo Watanzania
wanatakiwa wafaidike na rasimali pia mipango ya kuboresha huduma za afya.
umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii tangu achukue fomu ameanza
kumwaga sera zake ambapo leo anazungumzia kuhusu ambavyo Watanzania
wanatakiwa wafaidike na rasimali pia mipango ya kuboresha huduma za afya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...