M.C. wa shughuli Ustaadh Khamis Ameir akisoma utaratibu wa mashindano madoga ya kuinua vipaji ya kuhifadhi Quran ya Jimbo la Kikwajuni yaliyofanyika uwanja wa Alabama Michenzani Mjini Zanzibar.
Mwafunzi Ramla Khamsin Jafar wa madrasati Nurul-iman akionyesha jitihada zake katika mashindano ya kuhifadhi yaliyofanyika ya Jimbo la Kwahani.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia kwa kina mashindano hayo.
Jaji kiongozi Abushayth Daud Mohudhar akitoa matokeo ya mashindano hayo.
Mgeni rasmin Mbunge wa Kikwajuni Mh. Hamad Yussuf Masauni akimkabidhi zawadi mshindi wa juzuu tano Fauzia Said Ali wa Madrasat Akhlaq, pesa taslim shiling laki moja
Mgeni rasmin, ambae pia ni mdhamini wa Mashindano madogo ya kuinua vipaji vya kuhifandi Quran Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mh. Hamad Yussuf Masauni akitoa nasaha zake mara baada ya kushuhudia mandano ya kuhifandi Quran yaliyoshirikisha wanafunzi kutoka vyuo vinane vya jimbo la kikwajuni. (kulia) Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Nassor Salim (Aljazira) na kushoto ni Mwenyekiti wa mashindano hayo Khamis Said Ali
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...