Tarehe 1 hadi 7 Julai 2015 kulikuwako maonyesho ya kibiashara yaliyofanyika mji wa Ndola. Kama ilivyo ada kwa Watanzania, walishiriki maonesho hayo na kutia fora kwa bidhaa zao mbalimbali. Kikundi cha Wajasiriamali kinachojulikana HOT kutoka Dar es Salaam kilishiriki kama kinvyoonekana kwenye picha mbali mbali wakiwa wamepiga picha na Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma. Balozi alikwenda Ndola kuwaunga mkono.
Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma akiangalia bidhaa za Kitanzania kwenye maonesho hayo
Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma akiwa na mmoja wa kinamama wajasiriamali
Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma akifurahia bidhaa za vikapu kutoka nyumbani
Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma akikagua mabazee na khanga
Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma akiendelea kutembelea wajasiriamali hao
Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma akipozi na mjasiriamali
Balozi wetu wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace J. Mujuma akiwa na mjasiriamali wa bidhaa za kusindikwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...