Mke wa Rais
Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa watoto wa wafanyakazi wa Ubalozi wa
Tanzania nchini Malaysia mara baada ya kuwasili kwenye Hoteli ya Royale Chulan
iliyopo Kuala Lumpur, Mji Mkuu wa Malaysia tarehe 23.7.2015.
Mke wa Rais
na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete
akipokewa na Mkurugenzi Mkuu wa SMH Rails Bwana Narayanan Kuppusamy mara baada
ya kuwasili kwenye karakana ya treni iliyoko Kuala Lumpur nchini Malaysia
Tarehe 24.7.2015.
Mke wa Rais
Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa Mke wa Mkurugenzi Mkuu wa SMH Rails
Mama Lakshmi Narayanan ikiwa ni ishara ya kumkaribisha kutembelea karakana ya
treni na mabehewa huko Malaysia tarehe 24.7.2015.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...