Maharausi wakikata keki kuashilia upendo katika hafla  iliyofanyika katika Ukumbi wa Danken House,Mikocheni jijini Dar es Salaam,
 Bwanaharusi Yahaya Kiyabo akimlisha keki Biharusi,Aisha Kirapo katika hafla iliyfanyofanyika katika ukumbi wa Danken  House,Mikocheni Jijini Dar es Salaam,
   Biharusi,Aisha Kirapo akimlisha keki Bwanaharusi Yahya Kiyabo katika hafla iliyfanyofanyika katika ukumbi wa Danken ,Mikocheni Jijini Dar es Salaam,
 Bwanaharusi Yahya Kiyabo akiwakabidhi baadhi ya Wafanyakazi wenzake wa Benki ya CRDB keki katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Dunken House,Mikocheni,jijini Dar es Salaam.
 Baadhi wa washiriki katika hafla hiyo wakisubiri keki katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Danken House,Mikocheni jijini Dar es Salaam.
 Mama mzazi wa bwanaharusi wakifurahia jambo kwa pamoja 
 Maharusi wakipeleka keki kwa wakwe hawapo pichani katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Dakan,Mikocheni ,jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2015

    Sio Jiko ni mke, jamani! Yaani, wake zetu bado tunawafikiria kukaa jikoni a kutupikia?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...