Meya wa Ilala, Jerry Slaa
akifuatilia kwa karibu burudani zilizokuwa zinatolewa na vikundi mbalimbali
katika mkutano huo. Pamoja nae ni Mbunge wa Afrika Mashariki na Mjumbe wa NEC wa CCM,
Diwani wa kata ya
Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akihutubia
wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo
alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na
kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa amezitoa.
Mmoja wa wawakilishi wa
kikundi cha akina mama akipokea fedha kwa niaba ya wenzake kutoka kwa Meya wa Manispaa ya ilala ambazo alikuwa amewaahidi wakati wa mkutano
wa Meya huyo kuelezea mafanikio yake.
Baadhi ya madiwani na
wazee wa Ukonga wakimpongeza Meya Jerry Slaa kwa kutimiza ahadi alizotoa muda mfupi
baada ya kueleza mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wake ambapo vilevile
alitangaza nia ya kugombea Ubunge wa jimbo la Ukonga
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...