Mfuko wa Pensheni wa LAPF umeshiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Serikali za Mitaa Mtwara katika viwanja vya mashujaa. LAPF inawakaribisha wakazi wa Mtwara na Watanzania wote kutembelea banda lao ili uweze kupata  huduma mbali mbali ikiwa ni pamoja na kufahamu juu ya huduma mpya zinazotolewa na LAPF kama vile mkopo wa kujikimu, Mafao ya Uzazi na Mkopo wa Elimu. Pia wanachama watapata fursa ya kuangalia taarifa za michango yao kujiunga  na LAPF na kupata vitambulisho bandani.Pichani ni maafisa wa LAPF wakitoa huduma kwa wanachama waliotembelea banda hilo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...