Mhe
Kafulila akihutubia maelfu ya wakazi wa Nguruka mara baada ya kupokea
fomu ya kugombea ubunge katika jimbo lake.aliyokabidhiwa na wazee wa
jimbo hilo
Mhe
David Kafulila ikiingia katika viwanja vya shule ya msingi Nguruka
kwaajili ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kwa awamu ya pili jimboni
kwake.
Mhe Kafulila akiwaaga wananchi wa Nguruka baada ya kumaliza mkutano wake wa hadhara.
Baadhi ya wananchi wa Nguruka waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Mhe.David Kafulila na kushuhudia akikabidhiwa fomu ya ubunge
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...