Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mh. Halima Dendego akizungumza wakati wa uzinduzi wa mkutano wa nne wa wadau wa sekta ya misitu unaolenga kuangazia masuala ya usimamizi shirikishi ya misitu vijijini ulioandaliwa na Taasisi ya UONGOZI mjini Mtwara. Kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Ally, Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki Bi. Gladness Mkamba na Mkuu wa Utafiti na Sera wa Taasisi ya UONGOZI Bw. Denis Rweyemamu.
Kaimu Mkurugenzi wa Misitu na Nyuki Bi. Gladness Mkamba akitoa mada kuhusu hali ya utunzwaji wa misitu wakati wa mkutano wa nne wa wadau wa sekta ya misitu unaolenga kuangazia masuala ya usimamizi wa shirikishi ya misitu vijijini ulioandaliwa na Taasisi ya UONGOZI mjini Mtwara.
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera wa Taasisi ya UONGOZI Institute Bw. Denis Rweyemamu akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliolenga kuunganisha wadau mbali mbali wa sekta ya misitu ili kuweza kuzungumzia changamoto na fursa zilizopo katika masuala ya usimamizi wa misitu vijijini kupitia vikundi shirikishi vya kijamii.
Viongozi wa serikali wakiwa na wadau mbali mbali wa sekta ya misitu katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa mkutano wa nne wa wadau wa sekta ya misitu uliolenga kuangazia masuala ya usimamizi shirikishi ya misitu vijijini ulioandaliwa na Taasisi ya UONGOZI mjini Mtwara.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...