Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Mhe Nassor Salim Jazira akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Vifaa kwa Wananchi wa Jimbo lake iliofanyika katika Skuli ya Msingi Rahaleo Zanzibar.
Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na Watoto Mhe. Zainab Omar, akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Rahaleo na wanafunzi wa skuli hiyo katika hafla ya kukabidhi vifaa vilivyotolewa na Mwakilishi wa Jimbo hilo Mhe. Nassor Salim Jazira.
Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na Watoto Mhe Zainab Omar akimkabidhi Seti ya Komputer Mwanafunzi wa Chuo cha Ualimu Rahaleo,kwa ajili ya matumizi ya Chuo hicho vilivyotolewa na Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Mhe Nassor Salim Jazira, hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika katika Skuli ya Rahaleo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Hata mwanangu leo kaniuliza na umri wa miaka mitano kwa nini vifaa vya michezo na kazi nyingine vinatolewa na wabunge/wawakilishi kwa wingi mwezi huu. ilibidi nimfundishe somo la siasa kwa nini waheshimiwa wako bize kutowa misaada kwa wananchi hii sio rushwa hii ni miezi ya riziki ukikupita msimu huu wa mavuno iko haja ya kusubiri tena miaka mitano ijayo shughuli zote za maedeleo husitishwa mpaka tukaribie uchaguzi ndio kazi huanza kweli tutafika tunapo taka kwenda ikiwa ufanyaji kazi ni wa misimu.
ReplyDeleteasante.
mchunguzi wa kujitolea.
saedy mavuzy,zanzibar.