Mkurungenzi  wa Mfuko  wa Jamii  ya  Afya( NIHIF) wa  Afya  wa Mfuko  wa Taifa  wa Bima ya  Afya (NHIF),Eugen Mikongoti  akikabidhiwa jezi  100  kwa  Mlezi wa Kikundi cha Timberland jogging Sports ,Careen Mgonja  wakati mfuko huo ulipotembelea  kikundi hicho Yombo Kilakala leo jijini Dar es Salaam.  
 Mkurungenzi  wa Jamii  wa Mfuko wa  Afya  wa Mfuko  wa Taifa  wa Bima ya  Afya (NHIF),Eugen Mikongoti  wa kwanza kulia  azungumza na viongozi wa kikundi cha Timberland jogging Sports ,Careen Mgonja  wakati mfuko huo ulipotembelea  kikundi hicho  Yombo Kilakala leo jijini Dar es Salaam
 Mkurungenzi  wa Jamii  wa Mfuko wa  Afya  wa Mfuko  wa Taifa  wa Bima ya  Afya (NHIF),Eugen Mikongoti   akiwa katika picha ya pamoja na kikundi cha Timberland jogging Sports ,Careen Mgonja  wakati mfuko huo ulipotembelea  kikundi hicho  Yombo Kilakala leo jijini Dar es Salaam (Picha na Emmanue l Massaka wa Glob y Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...