Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dr.
Charles Tizeba (kushoto), Waziri wa Usafirishaji, Kazi na Mawasiliano wa
Zambia, Bw. Yamfwa Mukanga (katikati) na Balozi wa Tanzania nchini Zambia,
Grace Mujuma wakati wa uzinduzi rasmi wa ofisi ndogo ya Mamlaka ya Bandari Tanzania
(TPA) mjini Lusaka hivi karibuni.
Balozi wa Tanzania nchini Zambia,
Grace Mujuma (katikati) akifurahia baada ya uzinduzi rasmi wa ofisi ndogo ya
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) mjini Lusaka hivi karibuni. Ofisi hiyo ilizinduliwa na Waziri wa
Usafirishaji, Kazi na Mawasiliano wa Zambia, Bw. Yamfwa Mukanga (kushoto);
kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw. Awadh Massawe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...