Mwakilishi wa jimbo la Uzini Mohamed Raza Hassanal akichukuwa fomu kwa Katibu Mkuu Wilaya Ali Yusssuf Salimu ya kugombea nafasi ya Uwakilishi kwa Jimbo la Uzini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) huko ya Wilaya ya Kati Dunga aktika Afisi ya Chama hicho.
Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohamed Raza akisaini fomu ya kugombea nafasi ya Uwakilishi mara baada ya kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Wilaya hiyo Ali Yussuf Salimu huko Wilayani.Picha na (Miza Othman -Maelezo Zanzibar).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...