Afisa Mwandamizi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Salvatory Hinju akitoa maelezo namna Shirika la Nyumba linavyofanya kazi zake kwa Wateja waliofika kwenye banda la maonyesho la Shirika hilo lililopo ndani ya viwanja vya Maonyesho vya Sabasaba (Mwalimu Nyerere) katika maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa.
Kaimu Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa Tuntufye Mwambusi akizungumza na mmoja wa wateja wa Shirika la Nyumba alipofika kwenye banda la maonyesho la Shirika hilo lililopo ndani ya viwanja vya Maonyesho vya Sabasaba (Mwalimu Nyerere) katika maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa.
 Mteja akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Aika Swai, anayewasikiliza ni Afisa Mauzo Mwandamizi wa NHC, Julieth Buberwa.
 Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Aika Swai akitoa maelekezo kwa wateja kuhusiana na ujenzi na mauzo ya nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa kwenye Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya 39 yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere Sabasaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...