Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Major General G.S Milanzi kulia akiongea na
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Prof. Helmas Mwansoko kushoto kabla ya Prof. Mwansoko kutoa Mhadhara juu ya
Utamaduni unavyochangia katika usalama na ulinzi wa Nchi kwa Viongozi wa Ulinzi na
usalama wa ndani na nje ya nchi pamoja na Taasisi za umma.Mhadhara huo umefanyika jijini
Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Prof. Helmas Mwansoko akitoa mada kwa Viongozi wa Ulinzi na usalama wa ndani
na nje ya nchi pamoja na Taasisi za umma juu ya Utamaduni unavyochangia katika usalama na
ulinzi wa Nchi .Mhadhara huo umefanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Prof. Helmas Mwansoko akitoa mada kwa Viongozi wa Ulinzi na usalama wa ndani
na nje ya nchi pamoja na Taasisi za umma juu ya Utamaduni unavyochangia katika usalama na
ulinzi wa Nchi .Mhadhara huo umefanyika jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Benjamin Sawe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...