![]() | ||||||
Mwanzilishi wa taasisi ya Imbumba Foundation ,Richard Mabaso akizungumza lengo la safari hiyo ya kupanda Mlima Kilimanjaro ijulikanao kama Trek4 Mandela ambayo ni mahususi kwa ajili ya kuchangisha fedha zausaidia wasichana walioko mashuleni.
|
Home
Unlabelled
TIMU YA WATU 39 KUTOKA AFRIKA KUSINI WAPNDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA KUNUNUA TAULO MAALUMU KWA WASICHANA WALIOPO MASHULENI PINDI WAWAPO KATIKA HEDHI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuna vitu vingi katika jamii vya kuchangia jamani kweli mchango wa kununuia wanafunzi pedi mmmmh. hao mnaowanunulia am sure wana matatizo kibao ambayo yangefaniwa ufumbuzi mfano maabara za shule kuwekewa vifaa, vitabu kuwekwa library, visima vya maji ambavyo ni vitu vya kudumu miaka. but taulo mnawapa za miaka mingap.
ReplyDelete