Waziri Mkuu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Peter Pinda
akiwapongeza washiriki kwa kubuni huduma mbalimbali katika Maonesho ya
39 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba. Wa pili kutoka kulia ni Kaimu
mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es Salaam Bw. Karim Bablia.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (katikati) akipata maelezo kutoka kwa
Veronica Ngusaru (kushoto) kuhusu faida mbalimbali za kutumia mtandao wa
TTCL ndani ya banda la kampuni hiyo alipotembelea Maonesho ya 39 ya
Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba.
Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Jotham Lujava (katikati) akipata
maelezo kuhusu huduma mbalimbali zinazooneshwa na kampuni hiyo. Picha ya pamoja ya maofisa wa kampuni ya TTCL wanaoshiriki Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba.
Home
Unlabelled
TTCL Yakuza Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Waziri Mkuu Atembelea Banda Lao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...