Wananchi wa Burundi leo wamepiga kura kumchagua Rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Uchaguzi huo umefanyika katika mazingira ya amani ingawaje kwa upande wa jiji la Bujumbura wananchi walianza kujitokeza zaidi mchana
 Wananchi wakipiga kura Bujumbura  kituo cha Uchaguzi cha Ruhunja A  eneo la Rusagara katika jimbo la Gitega.
 Mawanamama akipiga kura yake  kituo cha Uchaguzi cha Ruhunja A  eneo la Rusagara katika jimbo la Gitega.
Bango la wagombea nafasi ya Urais wa Burundi
Waangalizi wa uchaguzi wa Rais nchini Burundi kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki na timu ya mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Burundi wakiwa katika kituo cha Uchaguzi cha Ruhunja A  eneo la Rusagara katika jimbo la Gitega.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...