Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
akilifungua rasmi Jengo Jipya la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia
Tanzania { COSTECH} Ofisi ya Zanzibar
liliopo ndani ya majengo ya zamani ya ilichokuwa kiwanda cha Sigara Maruhubi
Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Balozi Seif wa pili kutoka Kushoto akipata maelezo kutoka kwa
Wataalamu wa Chuo cha Utafiti Kizimbani wakiongozwa na Said Suleiman
Bakari jinsi zao
la viazi vitamu linavyoweza kutumiwa vyema katika utengenezaji wa Juisi. Wa kwanza
kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Majini Magharibi Mh. Abullah Mwinyi.
Watafiti na wawakilishi wa Vikundi vya wajasiri amali waliopata ufadhili
kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia wakimpatia maelezo Balozi Seif
wakati akiangalia maonyesha mara baada ya kulifungua Jengo la Tume hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...