Mgeni Rasmi, Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akifungua Warsha kuhusu mipango
ya kuhimili mabadiliko ya Tabia Nchi iliyofanyika mjini Bagamoyo. Warsha hiyo
imeandaliwa na Ofisi ya Makamu na kushirikisha Wadau kutoka Taasis mbalimbali
za Serikali na Sekta Binafsi.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira toka Ofisi ya
Makamu wa Rais Bwana Richard Muyungi akimkaribisha Mgeni Rasmi kufungua Warsha
hiyo.
Baadhi ya Wadau waliohudhuria Semina hiyo wakimsikiliza
kwa Makini Mgeni Rasmi .
Mgeni Rasmi ,
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akiwa katika picha
ya pamoja na Wadau waliohudhuria akifungua Warsha kuhusu mipango ya kuhimili
mabadiliko ya Tabia Nchi iliyofanyika mjini Bagamoyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...