Mgeni Rasmi,  Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akifungua Warsha kuhusu mipango ya kuhimili mabadiliko ya Tabia Nchi iliyofanyika mjini Bagamoyo. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Makamu na kushirikisha Wadau kutoka Taasis mbalimbali za Serikali na Sekta Binafsi.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira toka Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Richard Muyungi akimkaribisha Mgeni Rasmi kufungua Warsha hiyo. 
 Baadhi ya Wadau waliohudhuria Semina hiyo wakimsikiliza kwa Makini Mgeni Rasmi .
Mgeni Rasmi ,  Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akiwa katika picha ya pamoja na Wadau waliohudhuria akifungua Warsha kuhusu mipango ya kuhimili mabadiliko ya Tabia Nchi iliyofanyika mjini Bagamoyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...