Balozi
Liberata Mulamula akiwasili nje ya jengo lenye studio ya Kilimanjaro
tayari kuongea LIVE katika kipindi cha Jukwaa langu kinachorushwa kila
siku ya Jumatatu kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 2 usiku saa za Mashariki
za Marekanui. anayemfungulia mlango ni Abdul Malik.
Balozi
Liberata Mulamula akiingia ndani ya studio akiwa amesindikizwa Harriet
Shangarai (kushoto) ambaye pia ni Mkurugenzi wa studio hiyo, kulia ni
Afisa Ubalozi Swahiba Mdeme na Abdul Malik.
Balozi
Liberata Mulamula akipata maelezo kutoka kwa studio meneja ambaye pia
ni mtangazaji na mtayarishaji wa kipindi cha Jukwaa langu, Bwn. Mubelwa
Bandio (hayupo pichani) Kushoto ni Afisa Ubalozi Swahiba Mdeme
akifuatilia maelezo hayo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...