Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi mbali mbali walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Karume katika ziara ya kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa wa kaskazini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa majisafi na salama katika kijiji cha Taif wete kaskazini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuifungua miradi mbalimbali ya Serikali kisiwani humo, mradi uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimtwisha Ndoo ya Maji Mwajuma Ahmed Abdalla baada ya kufungua Mradi wa Maji safi na Salama katika kijiji cha Taif Wete Pemba Mkoa wa Kaskazini leo akiwa katika ziara ya kuifungua miradi mbalimbali ya Maendeleo, mradi ambao uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua mfereji kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa majisafi na salama katika kijiji cha Taif wete kaskazini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuifungua miradi mbalimbali ya Serikali kisiwani humo,mradi uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB. Picha na ikulu, Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...