MAMA MAGRETH LUTHER NANZA 
09.08.2001-09.08.2015

Leo ni miaka 14 tangu umeitwa mbinguni! Mama ulikuwa nguzo na tegemeo la maisha yetu. Haupo machoni lakini upo katika mioyo yetu. 

Daima utakumbukwa na wanao Jane, Hellen, John, Samson, Gyumi na Ruth. Wakwezo Sultan, Levison, Rachel, Monalisa na Sham. Wajukuu zako, ndugu, jamaa na majirani zako. MAMA TULIKUPENDA LAKINI MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI JINA LA BWANA LIHIDIMIWE AMEN.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...