MAMA MAGRETH LUTHER NANZA
09.08.2001-09.08.2015
Leo ni miaka 14 tangu umeitwa mbinguni! Mama ulikuwa nguzo na tegemeo la maisha yetu. Haupo machoni lakini upo katika mioyo yetu.
Daima utakumbukwa na wanao Jane, Hellen, John, Samson, Gyumi na Ruth. Wakwezo Sultan, Levison, Rachel, Monalisa na Sham. Wajukuu zako, ndugu, jamaa na majirani zako. MAMA TULIKUPENDA LAKINI MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI JINA LA BWANA LIHIDIMIWE AMEN.
RIP miss you dearly
ReplyDelete