Lori la Migizo lenye namba za usalili T 567 BQW ambalo tela lake limepiga mwenyeka jioni hii eneo la Ukonga jijini Dar es salaam na kusababisha msongamano mkubwa wa magari katika barabara hiyo. Chanzo mweleka huo bado hakijafahamika.
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika barabara hiyo baada ya tela la Lori hilo kupiga mweleka.
Magari mengine yanayoitumia barabara hiyo yakipita kwa taabu kando kando ya barabara hiyo.
Muonekano wa tela hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...