Dkt
John Pombe Magufuli kwa pamoja akicheza wimbo wa Adinselema uliokuwa
ukiimbwa na wanachama hao mara baada ya kumpokea na kuamsha shamra
shamra na shangwe za hapa na pale.Pichani kulia ni Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akishuhudia.
Mgombea Uraisi wa chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akipokelewa kwa shangwe na shamra shamra kutoka kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM waliokuwa wamekusanyika nje ya ofisi za CCM mkoa wa Lindi,alipofika kusaini vitabu,kuwashukuru na kujitamulisha kwao.
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akizungumza jambo na Wanachama wa chama hicho nje ya Ofisi za CCM mkoa wa Lindi
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia baadhi ya wanachama wa CCM na wafuasi wa chama hicho waliofika kumlaki alipowasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama hao mapema leo Agosti 8 2015.Dkt Magufuli amewataka wananchama hao kushikamana kuwa wamoja katika kipindi hiki muhimu cha uchaguzi,ambacho anaamini kitaipatia ushindi chama cha CCM.
Dkt John Pombe Magufuli akitia sahihi vitabu ndani ya ofisi ya CCM mkoa wa Lindi,pichani kati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa,Ndugu Ali Mtopa pamoja na
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete.
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete.
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha
CCM,Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa
Lindi,Ndugu Ali Mtopa alipowasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya
kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na
wafuasi wa chama cha CCM mkoani humo mapema leo Agosti 8 2015.
PICHA NA MICHUZI JR-LINDI
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA NA MICHUZI JR-LINDI
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
hawana umri wa kustaafu (kung'atuka)ili kuendana na wakati (mambo ya sayansi na teknolojia,internet, laptop, nk)??
ReplyDelete