Wanafunzi wa shule ya Kimataifa ya St.Mary's iliyoko eneo la Forest jijini Mbeya wakitoa burudani katika mahafali ya Darasa la saba katika shule hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini humo.
|
Home
Unlabelled
MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI YA ST.MARY'S INTERNATIONAL SCHOOL JIJINI MBEYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Wanafunzi muendelee kufanya vizuri masomoni msisahau kuzingatia maadili mema yatakayowawezesha kuwa raia wema wenye wajibu wa kuendeleza jamii yetu ya kitanzania.
ReplyDeleteUsiminye, Ankali Michuzi:
ReplyDeleteAchaneni kujipamba kwa hiyo rangi ya majivu meupe. Wengine inatukumbusha enzi za ubaguzi wa Weupe hapa Marekani kudhalilisha utu na heshima ya wenye asili ya Afrika kwa kuonekana kujipamba hiyo rangi ili aonekane kama tumbili hivi!