Image result for MNADA WA NYUMBA

                Na Bashir Yakub
Sheria  ya  ardhi  Sura  ya  113  imetoa  maelezo  kwa  upana  kuhusu  miamala    kati  ya  mtoa  mkopo , mkopaji na  dhamana  inayohusika katika mkopo  huo. Mara  kadhaa   watu binafsi,  taasisi  za  haki  za  binadamu, asasi  za kiraia, na  makundi  mengine  wamekuwa  wakitoa maelezo  mbalimbali   yanayotokana  na  sheria hii hasa  wakilenga  kupunguza vitendo  vya  ukiukaji  wa  taratibu  ambao  hufanywa  na  baadhi  yua  taasisi  za  mikopo   zikishirikiana  na  makampuni  ya  udalali  ( Brockers/auctioneers). 

Katika kipindi  hiki  ambapo  taasisi  za  fedha  zinazojihusisha  na  mikopo  zimeongozeka watu  wengi  wamekuwa  wakilalamikia  mienendo  yake hasa  pale  mtu  anaposhindwa  kurejesha  kwa  wakati. Pia wamekuwa  wakilalamikia  namna  taasisi  hizi  zinavyowakokotolea  mahesabu  hasa  yale  ya  riba. Jingine  ni  taratibu  zinazotumika  katika  kuuza/ kunadisha   dhamana  ya  mtu   hasa    nyumba  iwapo  mlengwa  ameshindwa kurejesha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...