Mkurugenzi
wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la
Arusha kwa tiketi ya CCM akiwaonyesha kadi ya CCM inayoonyesha imani ya
mwanachamana kwa wanahabari pamoja
na wadau mbalimbali jijini Arusha, pia alizungumzia kuhusu mchakato wa
ndani ya chama kumpata mgombea wa Ubunge wa jimbo la Arusha kupitia CCM
siku moja baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuzunguka katika kata 25
za kuomba kura kwa wanachama wa chama hicho,aliwataka wananchi
kumchagua mwanachama watakaoonyeshwa na Mungu na siyo kwa kushawishiwa
kwa pesa,pia alionyesha furaha yake kwa kuweza kupandikiza mbegu bora
ya Upendo,Amani na Mshikamano kwa wagombea wenzake pamoja na Wanaarusha
kwa ujumla(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
Mkurugenzi
wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la
Arusha kwa tiketi ya CCM akizungumza na waandishi wa habari pamoja na
wadau mbalimbali jijini Arusha ,ambapo aliwashukuru wagombea
wenzake 12 wanaowania nafasi ya Ubunge katika jimbo la Arusha kwa
kumaliza mchakato wa kuzunguka katika kata 25 jimbo la Arusha kwa
Amani,Upendo na mshikamano na pia alionyesha furaha yake kwa kupandikiza
mbegu bora ya Upendo,Amani na Mshikamano
Sehemu
ya wadau wakifatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Bushback Safaris Mustafa
Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...