SAM_4682Mkurugenzi wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM akiwaonyesha kadi ya CCM inayoonyesha imani ya mwanachamana kwa wanahabari pamoja na wadau mbalimbali jijini Arusha, pia alizungumzia kuhusu mchakato wa ndani ya chama kumpata mgombea wa Ubunge wa jimbo la Arusha kupitia CCM siku moja baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuzunguka katika kata 25 za kuomba kura kwa wanachama wa chama hicho,aliwataka wananchi kumchagua mwanachama watakaoonyeshwa na Mungu na siyo kwa kushawishiwa kwa pesa,pia alionyesha furaha yake kwa kuweza  kupandikiza mbegu bora ya Upendo,Amani na Mshikamano kwa wagombea wenzake pamoja na Wanaarusha kwa ujumla(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
SAM_4659Mkurugenzi wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau mbalimbali jijini Arusha ,ambapo aliwashukuru wagombea wenzake 12 wanaowania nafasi ya Ubunge katika jimbo la Arusha kwa kumaliza mchakato wa kuzunguka katika kata 25 jimbo la Arusha kwa Amani,Upendo na mshikamano na pia alionyesha furaha yake kwa kupandikiza mbegu bora ya Upendo,Amani na Mshikamano
SAM_4665Sehemu ya wadau wakifatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...