picha ikionyesha wachezaji wa timu ya
pentagone ya jijini arusha
Iliovaa bluu ikiwa inachezana wachezaji wa timu ya tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu
klabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya
mchezo wa wavu ya tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya
pentagoni seti 3-1
Iliovaa bluu ikiwa inachezana wachezaji wa timu ya tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu
klabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya
mchezo wa wavu ya tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya
pentagoni seti 3-1
wachezaji wa pentagoni wakiwa wanamsikiliza
mwalimu
picha zote na woinde
shizza, Arusha
MICHUANO
yamchezo wa wavu
klabu bingwa
taifa inaendelea kutimua vumbi jijini Arusha hukuikizishuhudia timu shiriki zikichuana vikali kwa kuonyesha ubabe.Katikaufunguzi wa michuano hiyo timu zaPentagone na Flowers za jijini Aruisha zilifungua mashindano hayo ambapozilifanikiwa
kumaliza
mchezo kwa timu
ya Pentagone kuibuka na ushindi wa seti3-0 dhidi ya wapinzani wao.
Michezo mingine ilichezwa kwa wanaume ambapo ilizikutanisha timu za Dodoma ambayo iliibuka na ushindi wa seti 3-0 dhidi yaTanga, Karatu walishinda seti 3-0 dhidi ya Flowers hukuwa na upande wa wanawake timu ya Dodoma ilichabangwa jumla ya seti 3-0 na wenzaoTanga.
Mashindano hayo yaliyoandaliwa na chama cha wavu
Tanzania(TAVA) kwa Kushirikiana na chama chawavu mkoa Arusha
(AVA)yamekutanisha ,ikoa mitatu pekee ambayo ni Arusha ,Dodomana Tanga huku vilabu sita kutoka mikoa hiyo ndivyo vinaonyeshana
ushindaniambavyo ni Pentagone kalbu,Flowers Arusha,Karatu,JKT Mbweni
ya Dar es salaam ,na Dodoma na Tanga vikiwakilishwa na timu mbili za
wanaume na wanawake kilamoja.
Makamomwenyekiti wa chama cha wavu Tanzania (TAVA) Muharami Mchume alisema kuwa mikoa mingine imeshindwa kushirikkutokana na sababu mbalimbali za kwao kwani zilithibitisha kuja lakini hazikuweza kufika .“Baadhi ya vilabu viliweza kutupa taarifa ya kushindwa kuja kwao katika mashindano hayaikiwemo vilabu vya jeshi na magerezamabavyo vilitupa sababu yakuwa katikamasuala ya ulinzi na usalama.”alifafanua Mchume.
Aidha alieleza zawadi mbalimbali ikiwemo medali navikozitatolewa kwa washindi na kuongeza kuwa Mabingwa watetezi wa michuano hiyo ya
wavu2014 timu ya Magereza kwa wanawakekutoka jijini Dar es salaam
Michezo mingine ilichezwa kwa wanaume ambapo ilizikutanisha timu za Dodoma ambayo iliibuka na ushindi wa seti 3-0 dhidi yaTanga, Karatu walishinda seti 3-0 dhidi ya Flowers hukuwa na upande wa wanawake timu ya Dodoma ilichabangwa jumla ya seti 3-0 na wenzaoTanga.
Mashindano hayo yaliyoandaliwa na chama cha wavu
Tanzania(TAVA) kwa Kushirikiana na chama chawavu mkoa Arusha
(AVA)yamekutanisha ,ikoa mitatu pekee ambayo ni Arusha ,Dodomana Tanga huku vilabu sita kutoka mikoa hiyo ndivyo vinaonyeshana
ushindaniambavyo ni Pentagone kalbu,Flowers Arusha,Karatu,JKT Mbweni
ya Dar es salaam ,na Dodoma na Tanga vikiwakilishwa na timu mbili za
wanaume na wanawake kilamoja.
Makamomwenyekiti wa chama cha wavu Tanzania (TAVA) Muharami Mchume alisema kuwa mikoa mingine imeshindwa kushirikkutokana na sababu mbalimbali za kwao kwani zilithibitisha kuja lakini hazikuweza kufika .“Baadhi ya vilabu viliweza kutupa taarifa ya kushindwa kuja kwao katika mashindano hayaikiwemo vilabu vya jeshi na magerezamabavyo vilitupa sababu yakuwa katikamasuala ya ulinzi na usalama.”alifafanua Mchume.
Aidha alieleza zawadi mbalimbali ikiwemo medali navikozitatolewa kwa washindi na kuongeza kuwa Mabingwa watetezi wa michuano hiyo ya
wavu2014 timu ya Magereza kwa wanawakekutoka jijini Dar es salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...