Mhe. Jaji Lawrence Gidudu, Rais wa Chama cha Majaji wa Afrika Mashariki (EAMJA) (wa tatu kushoto) akiendesha Mkutano wa Waheshimiwa Majaji na Mahakimu wa Jumuiya hiyo, Mkutano huo unahitishwa leo baada ya wajumbe hao kukubaliana kwa pamoja kuoresha huduma ya utoaji haki kwa umma. Wengine ni Wajumbe wa Mkutano huo kutoka Tanzania, Kenya na Uganda
 Baadhi ya kundi la Washiriki wa Mkutano wakiwa katika mkutano huo mapema leo, Mkuano huo uanatarajiwa kumalizika leo
 Mhe. Robert Makaramba, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mwanza (wa kwanza kushoto) pamoja na Washiriki wengine wa Mkutano wakiwa katika Mkutano wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki unaoendelea kufanyika katika Ukumbi wa Mkutano wa Malaika uliopo jijini Mwanza.
 
Wajumbe wa Mkutano wakiwa nje ya banda la Mahakama ya Tanzania lililopo katika Hoteli ya Malaika, lengo la kuwepo kwa banda hilo la Maonesho ni kuwaeleza washiriki wa Mkutano huo juu ya maboresho mbalimbali yanayoendelea kufanyika ndani ya Mahakama ya Tanzania lenye lengo la kuboresha huduma ya utoaji haki nchini. Picha na Mahakama. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...