Monica Mbega akijiandaa kumsalimia Kiponza. |
Mwenyekiti wa CCM Iringa mjini Bw Abeid Kiponza (kulia) akimtambulisha mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Frederick Mwakalebela leo. |
Mgombea udiwani wa kata ya Mtwivila Bw Jose Mgongolwa (kulia) akitambulishwa na Mwakalebela. |
Mgombea udiwani wa kata ya Mkimbizi Bi Farida Mpogole akitambulishwa na Mwakalebela |
Mwakalebela akimtambulisha mgombea udiwani wa kata ya Gangilonga Bw Nicholina Lulandala |
Mwakalebela akimtambulisha mgombea udiwani wa Kwakilosa Bw Himid Mbata (kulia) |
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Iringa mjini Bw Abeid Kiponza akimtambulisha mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM Bw Frederick Mwakalebela (kushoto)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...