Bwana
E Mr Jimmy Jiam akiwa na swaga za hali ya juu wakati anampa zawadi mshindi wa EFM Muziki Mnene Bango baada
yakuona kuwa ameweka stika kwenye eneo lake la biashara eneo la Mbezi Jijini Dar es salaam.
Mshindi mwingine wa EFM Muziki Mnene Bango na washabiki wa
EFM wakipozi kidogo na kupiga picha na bwana E Mr Jimmy Jiam. Mshindi huyo
alikuwa ameweka stika ya EFM kwenye taksi
yake alikabidhiwa zawadi yake na bwana E.
Bwana
E akipozi na mashabiki wa EFM. mashabiki hao walikutwa wanasikiliza 97.3 EFM na
wakamjulisha bwana E jinsi wanavyo ipenda EFM na ndio hapo wakapewa zawadi za
t-shirt za EFM.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...