Bwana E Mr Jimmy Jiam akiwa na swaga za hali ya juu wakati anampa zawadi  mshindi wa EFM Muziki Mnene Bango baada yakuona kuwa ameweka stika kwenye eneo lake la biashara  eneo la Mbezi Jijini Dar es salaam. 
 Mshindi mwingine wa EFM Muziki Mnene Bango na washabiki wa EFM wakipozi kidogo na kupiga picha na bwana E Mr Jimmy Jiam. Mshindi huyo alikuwa ameweka stika ya EFM kwenye taksi  yake alikabidhiwa zawadi yake na bwana E.
 Bwana E akipozi na mashabiki wa EFM. mashabiki hao walikutwa wanasikiliza 97.3 EFM na wakamjulisha bwana E jinsi wanavyo ipenda EFM na ndio hapo wakapewa zawadi za t-shirt za EFM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...