![]() |
Baadhi ya wahitimu wa mafunzo ya awali ya Askari Polisi na Uhamiaji. |
![]() |
Naibu Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi ,Abdulrahman Kaniki akitoa hotuba yake katika siku hiyo. |
![]() |
Mkuu wa Chuo cha Polisi ,Commandant ,Matanga Mbushi akitoa hotuba yake katika sherehe hizo. |
![]() |
Baadhi ya wahitimu. |
![]() |
Askari Polisi wahitimu wakionesha umahiri wa kucheza Karate. |
![]() |
Askari wahitimu wa kike wakionesha namna ambavyo walivyofundishwa matumizi ya Bastola. |
![]() |
Askari Polisi wahitimu wakionesha nmna ya kushusha wagonjwa kutoka gorofani. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...