Mkurungenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Athumani Rehani (katikati) akizungumza na waanshi wa habari (hawapo pichani) juu ya kujiuga na mfuko huo leo jijini Dar es Salaam. kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Media Car Wash for Cancer,Benjamin Thomson na kulia ni Afisa Matekelezo Mkuu wa NHIF,Hance Mwankenja.
Mwenyekiti wa Kamati ya Media Car Wash for Cancer,Benjamin Thomson akizungumza na waanshi wa habari juu ya kujiuga na mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wa NHIF ,Uegene Mikongoti akizungumza na masheikh wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria wakati wa kuwajengea uwezo wa kujiunga na bima ya afya leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...