Mkurungenzi
wa Masoko na Utafiti wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Athumani
Rehani (katikati) akizungumza na waanshi wa habari (hawapo pichani)
juu ya kujiuga na mfuko huo leo jijini Dar es Salaam. kushoto ni
Mwenyekiti wa Kamati ya Media Car Wash for Cancer,Benjamin Thomson na
kulia ni Afisa Matekelezo Mkuu wa NHIF,Hance Mwankenja.
Mwenyekiti
wa Kamati ya Media Car Wash for Cancer,Benjamin Thomson akizungumza na
waanshi wa habari juu ya kujiuga na mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
(NHIF) leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wa NHIF ,Uegene Mikongoti akizungumza na
masheikh wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria wakati wa kuwajengea uwezo wa
kujiunga na bima ya afya leo jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...