Mkaguzi Mkuu wa ndani wa NMB Bw. Augustino Mbogella (pili kushoto) akimpa mkono Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Bw. Nyirembe Sabi baada ya uzinduzi rasmi wa familia ya kadi za NMB MasterCard kwa Mkoa wa Mbeya na Kanda nzima ya Nyanda za Juu. kadi hizo zikiwa ni :Tanzanite, Titanium na World Reward MasterCard. Wakishuhudia ni Meneja wa NMB Kanda ya Nyada za Juu Bi.Lucresia Makiriye na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wakubwa wa NMB Bw. Filbert Mponzi.
Sehemu ya Wageni waalikwa.
Shurkani kwa wateja wetu waliopo Mkoa wa Mbeya kwa kutuunga mkono katika uzinduzi huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...