Wasanii wa Kundi la Quality Boys kutoka Temeke jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi  wakati wa usaili wa tatu wa shindano la Dance 100% 2015 uliofanyika kwenye viwanja vya Leaders  Clup Kinondoni  jijini  Dar es Salaam.Shindano hilo limeandaliwa na EATV na   kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
 aadhi mashabiki waliojitokeza kwenye viwanja vya Leaders Club  jijini Dar es Salaam, wakifuatilia usaili wa tatu  wa shindano la  Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV nakudhaminiwa na  Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki.
 Vijana wanaounda kundi  la Wazawa kutoka Tandale  jijijini Dar es Salaam, wakikongo nyoyo za mashabiki waliojitokeza kwenye onyesho la usaili wa tatui wa shindano la Dance100%2015,lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club Kkinondoni , shindano hilo limeandaliwa na EATV na Kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
  Baadhi ya vijana wanaounda kundi la Pambana Fasaha Kiwarani  jijiji Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi wakati wa usaili wa tatu waiwanja vya shindano la Dance100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika katika  v Leaders Club  mwishoni mwa wiki.
05&006.Vijana wanaoaunda kundi la Fresh Crews la Kinondoni wakionyesha vionjo vyao vya kusakata dance  kwa mashabiki waliojitokeza kwenye viwanja vya Leaders Club  jijini Dar es Salaam, wakati wa usaili wa Tatu wa shindano la Dance100%l lilioandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

Vijana wanaoaunda kundi la Fresh Crews la Kinondoni wakionyesha vionjo vyao vya kusakata dance  kwa mashabiki waliojitokeza kwenye viwanja vya Leaders Club  jijini Dar es Salaam, wakati wa usaili wa Tatu wa shindano la Dance100%l lilioandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
 Majaji wa shindano la Dance 100%  2015,kutoka kushoto Super Nyamwela, Sheta  na Queen Darling  wakiwa katika mchakato wa usaili wa tatu wa shindano hilo lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania, lilifanyika katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni  jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Vijana wanaounda kundi la Pambana fasaha la Kiwalani  jijini  Dar es Salaam, wakikongo nyoyo za mashabiki waliojitokeza kwenye onyesho la usaili wa tatui wa shindano la Dance100%2015,lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club Kkinondoni , shindano hilo limeandaliwa na EATV na Kudhaminiwa na Vodacom Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...