Azam tv
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini Takukuru,yawatia mbaroni makada wa CCm kwa tuhuma za kutoa rushwa jijini Dar es salaam. https://youtu.be/S5m9N27VKBQ
Wakati kazi ya uandikishaji ikielendelea kwa siku 4 zilizo ongezwa baadhi ya waandikishaji wa BVR wagoma kwa  kutolipwa mafao yao. https://youtu.be/QfITiVLbDZI
 TBC NEWS
Wizara ya afya na ustawi wa jamii yaombwa kuweka kipaumbele kutibu magonjwa nyemelezi nay ale yasio ambukizwa kwani yamekuwa yakiwasumbua sana wazee na kupelekea vifo. https://youtu.be/P-kzlF3qgfw
Watu wenye ulemavu mkoani Iringa wawaomba wananchi kuwaunga mkono mara wajitokezapo kuwania nafasi mbalimbali za uongozi nchini. https://youtu.be/O4bsAUBrghU
Waandishi wa habari pamoja na wananchi wengine waaswa kujiunga na mfuko wa bima ya afya kufuatia changamoto nyingi katika kazi zao. https://youtu.be/bVwgPmOv0YU
 STAR TV NEWS
Katika hali ya kusikitisha Mwanamke mmoja wilayani Geita atengwa na familia yake kwa zaidi miaka 2 kwa tuhuma za uchawi huku akikosa huduma muhimu kwa mtoto wake. https://youtu.be/SeLDKlEhdoc
Wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi waaswa kutumia mafunzo waliyopata katika kulinda amani,nchi na jamii na kuacha na vitendo vya kihalifu,pamoja na matumizi ya dawa za kulevya. https://youtu.be/wg9o3ZGtLuA
Wizara ya uhamiaji nchini inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo uhaba wa watumishi, vitendea kazi na mazingira duni ya utendaji kazi. https://youtu.be/KfHWlm2R0po

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huu ni upotezaji wa hela za walipa kodi inabidi kuweka mazingira ya mtu kukubalika kwa asilimia Fulani kuweza kuchukua form za urais. Haawa jamaa 3 hata kwenye familia zao hakubaliki kuongoza itakuwaa nchi let us be serious now.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...