Tunawatangazia wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR kujitokeza katika vituo walipojiandikisha ili wahakiki taarifa zao. Ambako daftari la mpiga kura limebandikwa. (Display)  
NA.
MIKOA
TAREHE YA KUANZA
TAREHE YA KUMALIZA
1
Njombe, Iringa,  Mtwara, Lindi, Ruvuma, Katavi, Rukwa, Mbeya, Dodoma, Singida, Tabora, Kigoma, Kagera, Simiyu, Shinyanga, Geita, Mwanza, Mara, Manyara, Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Morogoro.

07/08/2015
11/08/2015
2
Pwani na Zanzibar
11/08/2015
15/08/2015
3
Dar es Salaam
13/08/2015
17/08/2015

Mashine zitakuwa katika OFISI YA AFISA MTENDAJI WA KATA  kwa ajili ya kusahihisha makosa yaliyojitokeza wakati wa kujiandikisha.

 Kwa waliohama wakahamishe taarifa zao ziwepo mahali watakapopigia kura tarehe 25/10/2015
Siku ya UCHAGUZI MKUU. 

Tangazo hili limetolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi,
S.L.P. 10923, Dar es Salaam

Tunza kadi yako, Usimpe Mtu.
JITOKEZE SASA, NENDA KAHAKIKI TAARIFA ZAKO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Goli la mkono ndio linaanzia hapa au tusemej

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...