Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifungua warsha ya uelimishaji juu ya usimamizi uendelezaji wa mji wa Dodoma kwa viongozi wa kata na mitaa wa Manispaa ya Dodoma iliyofanyika leo kwenye hoteli ya Morena Mjini Dodoma.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA Ndg. Paskasi Muragili akitoa maelezo ya ufafanuzi juu ya warsha ya uelimishaji juu ya usimamizi uendelezaji wa mji wa Dodoma kwa viongozi wa kata na mitaa wa Manispaa ya Dodoma iliyofanyika leo kwenye hoteli ya Morena Mjini Dodoma.
Baadhi ya viongozi wa kata na mitaa wa Manispaa ya Dodoma wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa warsha ya uelimishaji juu ya usimamizi uendelezaji wa mji wa Dodoma kwa viongozi hao wa serikali za mitaa iliyofanyika leo kwenye hoteli ya Morena Mjini Dodoma.
Picha ya pamoja baina ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Serikali na Viongozi wa Kata na Mitaa ya Manispaa ya Dodoma muda mfupi baada ya ufunguzi wa warsha ya uelimishaji juu ya usimamizi uendelezaji wa mji wa Dodoma iliyofanyika leo kwenye hoteli ya Morena.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...