Rais wa shirikisho la mpira wa  miguu Tanzania(TFF) Jamali Malinzi(kushoto)na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo Kelvin Twissa(kulia)wakielekezwa na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu jinsi ya kusaini mkataba wa makubaliano ya udhamini wa ligi Kuu ya  Vodacom Tanzania  bara kwa msimu wa 2015/16.
 Rais wa shirikisho la mpira wa  miguu Tanzania(TFF) Jamali Malinzi(kushoto)pamoja na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo Kelvin Twissa(katikati)wakisaini mkataba mpya wa miaka(3) kwa Vodacom Tanzania kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa ligi Kuu ya  Vodacom Tanzania  bara 2015/16. Anayeshuhudia kulia ni Ofisa Mkuu mtendaji wa ligi Boniface Wambura
 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa(katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusiana na mkataba mpya wa miaka(3) wa udhamini wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara uliosainiwa baina ya shirikisho la mpira wa  miguu Tanzania(TFF)na kampuni hiyo,kushoto ni Rais wa shirikisho la mpira wa  miguu Tanzania(TFF) Jamali Malinzi pamoja na Ofisa Mkuu mtendaji wa ligi Boniface Wambura(
  Rais wa shirikisho la mpira wa  miguu Tanzania(TFF) Jamali Malinzi(kulia)akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba mpya wa miaka(3) wa kudhamini ligi Kuu ya  Vodacom Tanzania  bara kwa msimu wa 2015/16.Katikati ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo Kelvin Twissa na kushoto ni Ofisa Mkuu mtendaji wa ligi Boniface Wambura.
Rais wa shirikisho la mpira wa  miguu Tanzania(TFF) Jamali Malinzi(kushoto) na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa(kulia)wakibadilishana nyaraka za mkataba wa makubaliano ya kampuni hiyo kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa ligi kuu  ya  Vodacom Tanzania  bara 2015/16 kwa miaka(3) anayeshuhudia katikati ni Ofisa Mkuu mtendaji wa ligi Boniface Wambura.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...