Wanamichezo wa Polisi Tanzania waliokuwa wakishiriki Michezo ya Umoja wa Majeshi ya Polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) katika mji wa Mbabane Swaziland wakiwa katika uwanja wa ndege wa Swaziland baada ya kumalizika kwa michezo hiyo ambapo walifanikiwa kujipatia jumla ya medali kumi na moja .(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi,Swaziland)
Home
Unlabelled
WANARIADHA WA POLISI WAREJEA KUTOKA SWAZILAND
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...