Mkurungezi wa Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA, Dk.Ally Simba akizungumza na waandishi wa habari juu ya semina ya kuwapiga brashi wa wasanii wa bongo Movie leo jijini Dar Dar es Salaam.
 Afisa Mwandamizi Mkuu wa Kitengo cha Watumiaji wa Huduma za Bidhaa za Mawasiliano wa TCRA,Thadeo Ringo akizungumza na baadhi na wasanii waliohudhuria semina hiyo hawapo pichani iliyoyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi  Makao Makuu,Kitengo cha Kuzuia Uhalifu ,Kamisheni ya Polisi Jamii,David Mwakalukwa akizungumza na wasaanii juu ya matumizi ya mitandao ya kijamii katika semina ya wasanii iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Msanii Mkongwe wa Filam nchini,Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ akichangia maada katika semina ya kuwanoa wasanii juu ya matumizi ya mitandao katika semina iliyoandaliwa na TCRA leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wasanii walioshiriki semina iliyoandaliwa na TCRA ,leo jijini Dar es Salaam.
(picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...