1
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Zaidi ya wataalam wa TEHAMA 500 kutoka Wizara, Idara, Wakala,Taasisi, Halmashauri wako jijini Arusha kujadili mafanikio na changamoto za Serikali mtandao.
2
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt.Jabiri Bakari akitoa ufafanuzi kuhusu Serikali Mtandao kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Serikali Mtandao unaofanyika katika ukumbi wa AICC jijini Arusha leo.
4
Mtaalam wa masuala ya Serikali Mtandao kutoka nchini Singapore Bw.Tan Kim akiwasilisha mada kuhusu Umuhimu wa Serikali mtandao kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Serikali mtandao unaofanyika jijini Arusha leo
5
Wataalam wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kutoka maeneo mbalimbali nchini wakifuatilia Masuala mbalimbali wakati wa mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali mtandao unaofanyika jijini Dar es salaam.
Picha na Aron Msigwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...