Watanzania walioshiriki kongamano la Young African Leadership watembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC na kupokelewa na mwenyeji wa Balozi Liberata Mulamula.
Pichani ni baadhi ya washiriki wa kongamano hilo walipokua wakijitambulisha kwa Mhe, Balozi kwani wote wametoka kwenye Nyanja mbalimbali za kitaaluma.
Washiriki wa Kongamano ambao walikiri kujifunza mengi kutoka upande wa Marekani ambapo wamepata mwanga wa kuweza kuleta mabadiliko nchini Tanzania kutoka na taaluma walizopata.
Baadhi ya wahudhuriaji wa kongamano hilo wakimsikiliza Mhe Balozi na yake ya kusema.
Picha ya pamoja washiriki wa kongamano hilo pamoja na Mhe Balozi Liberata Mulamula
Picha na Ubalozi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...