Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akiwa ziarani mkoani Mbeya, akizungumza na watendaji wa Mkoa, wa Halmashauri ya jiji, baada ya kuwawajibisha watendaji wawili wa Halmashauri kwa kuwasimamisha kazi na kuwakabidhi kwa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kwa tuhuma za kujimilikisha viwanja 25 kinyume na sheria.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akisisitiza jambo, wakati alipokuwa anatoa maelekezo kwa viongozi wa jiji na Wananchi wa eneo la Sisitira, Lwambi – Mbeya alipokuwa ziarani mkoani humo, Mhe. Lukuvi pia aliwawajibisha watendaji wawili wa Halmashauri kwa kuwasimamisha kazi na kuwakabidhi kwa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za kujimilikisha viwanja 25 kinyume na sheria.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akikagua mafaili katika masijala ya Idara ya ardhi, halmashauri ya jiji la Mbeya alipokuwa ziarani mkoani humo, Mhe. Lukuvi pia aliwawajibisha watendaji wawili wa Halmashauri kwa kuwasimamisha kazi na kuwakabidhi kwa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za kujimilikisha viwanja 25 kinyume na sheria.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akitoa maelekezo kwa viongozi wa jiji na Wananchi wa eneo la Sisitira, Lwambi – Mbeya, alipokuwa ziarani mkoani humo, Mhe. Lukuvi pia aliwawajibisha watendaji wawili wa Halmashauri kwa kuwasimamisha kazi na kuwakabidhi kwa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za kujimilikisha viwanja 25 kinyume na sheria.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...