Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Dangote, Alhaj Aliko Dangote (aliyesimama katikati), akizungumza na maofisa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara ya Mambo y Nje, Viwanda na Biashara na Masoko, Kituo cha Uwekezaji Tanznia (TIC) na taasisi mbalimbali za serikali, walipokutana na Mtendaji huyo mkoani Mtwara jana kujadili kuhusu uzinduzi wa kiwanda hicho kikubwa cha simenti.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Dangote, Alhaj Aliko Dangote (kushoto), akiwasikiliza kwa makini maofisa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje, Viwanda, Biashara na Masoko na Kituo cha Uwekezaji Tanzani (TIC), waliotembelea kiwanda cha simenti cha Dangote kinachojengwa mkoani Mtwara jana kwa ajili ya maandalizi ya kuzindua rasmi Oktoba mwaka huu.
 Sehemu ya mitambo kiwanda hicho ambayho baadhi ujenzi wake umekamilika

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. the commendable achievement by the richest man in africa and well done TIC to facilitate the massive investment , The TIC plays a very pivotal role in promoting the healthy investment in tanzania and i hope TIC keeps on attracting the investment from the investors all over the world by facilitating the investors .
    TIC with my past experience has changed the law by scraping off the exemption and reducing the percentage of exemption every year need to be looked at closely , with the recent scrapping off the VAT from the exemption list has made the situation worst with widespread cries for such sudden change which has given investors a very high amount of losses and unexpected and untimely and unplanned expenses to pay the VAT due to the changed law VAT ACT NO 5 of 2014 which does not grandfather vat exemptions which were provided to investors in vat act cap 148 . this has totally affected the investors and has created a disasters and foremost delays or foreclosure . at least they should consider the new applicant with new law rather then punishing the old applicant . i hope the investors does not run away to kigali

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...