Ni neema kubwa ambayo imepatikana kwa juhudi kubwa zilizofanywa na viongozi wakishirikiana na wana jamii pamoja na mambo mengine lakini kuhakikisha jamii inakuwa pamoja.
Kipaumbele cha mwanzo ikiwa kuwafundisha vijana na wazee maadili mazuri, aidha kujenga moyo wa kushirikiana na kuhakikisha umoja wenye afya. Ni bahati kubwa kwa watu wa ughaibuni kuweza kukutana ktk mji mmoja wakiwa wanazugumza lugha moja, utamaduni wao mmoja na wana maadili yanayofanana. 
Ili kuona kwamba hayo yanafanikiwa wameandaa sherehe ya siku mbili tarehe 24 na 26/09/2015 kuanzia saa nane mchana hadi saa nne usiku. Vyakula vya ki-asili kama vile urojo,mishikaki na vinginevyo vitauzwa kwa malengo ya kuiingizia jumuiya mapato ili kufanikisha malengo wanayo yakusudia. 
Kutakua na kiingilio £ 10 kwa familia moja na £5 kwa wasio hudhuria na familia. Tunawatakiwa Eid njema na tunasema: Eid Mubaarak.

Kwa kutaka kuifahamu vizuri COMSWA na kazi zake tembelea www.comswa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...